Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 22:31

Eritrea uondolewa vikwazo baada makubaliano na Ethiopia


Eritrea uondolewa vikwazo baada makubaliano na Ethiopia
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:16 0:00

Baraza la usalama la umoja wa mataifa limeiondolea Eritrea vikwazo kufuatia makubaliano ya amani na Ethiopia, na kulegezwa kwa upinzani dhidi ya Djibouti jambo linaloleta matumaini mema katika pembe ya Afrika.

XS
SM
MD
LG