Trump na Xi wakubuliana kuimarisha ushirikiano kibiashara
Wizara ya Mambo ya Nje ya China imesema Ijumaa kwamba mazungumzo ya simu baina ya marasi wawili wa China Xi Jimping na Donald Trump wa Marekani yalikuwa mazuri. Msemaji wa wizara hiyo Lu Kang anasema Viongozi hao wawili wanadhani kuna haja ya kuimarisha zaidi ushirikiano wao wa kibiashara.
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum