Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 14:24

Trump na Xi wakubuliana kuimarisha ushirikiano kibiashara


Trump na Xi wakubuliana kuimarisha ushirikiano kibiashara
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:36 0:00

Wizara ya Mambo ya Nje ya China imesema Ijumaa kwamba mazungumzo ya simu baina ya marasi wawili wa China Xi Jimping na Donald Trump wa Marekani yalikuwa mazuri. Msemaji wa wizara hiyo Lu Kang anasema Viongozi hao wawili wanadhani kuna haja ya kuimarisha zaidi ushirikiano wao wa kibiashara.

XS
SM
MD
LG