Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 03:36

Duniani Leo October 10, 2018


Duniani Leo October 10, 2018
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:53 0:00

Zaidi ya watu 50 wamefariki nchini Kenya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupata ajali kwenye barabara kuu ya kutoka mjini Nairobi kuelekea Kisumu. Kujiuzuru kwa balozi wa marekani kwenye umoja wa mataifa Nikki Haley mwishoni mwa wiki kwazua gumzo nchini Marekani.

XS
SM
MD
LG