Viongozi wa kuu wa mataifa zaidi ya 190 ya duniani wako New York kwa mkutano wa 73 wa kila mwaka wa baraza kuu la umoja wa mataifa uliofunguliwa rasmi . Katika mkutano na waandishi wa habari Bobi Wine asema Waganda wanataka kuwa huru kueleza maoni yao bila wasiwasi wa uzushi.