Uhusiano wa Uganda, EU wafukuta
Mzozo unafukuta kati ya serikali ya Uganda na umoja wa ulaya, huku serikali ya Uganda ikionya EU, kukoma kuingilia maswala ya uongozi wake pamoja na kutoa masharti kwa viongozi wa Uganda kuhusu haki za kibinadamu. Sikiliza ripoti ifuatayo iliyotayarishwa na Mwandishi wa sauti ya Amerika, Kennes Bwire.
Matukio
-
Februari 19, 2025
Kenya yalaumiwa kwa kuruhusu RSF kukutana Nairobi
-
Novemba 25, 2024
REPORT SIKU 16 ZA KUZUIA UKATILI WA KIJINSIA.mp3
-
Mei 28, 2024
Biden na Trump watafuta kura za wanawake
-
Mei 01, 2024
Rwanda yaunda mkakati mpya wa ajira kwa vijana
-
Februari 05, 2024
Ziara ya rais wa Poland nchini Kenya kuimarisha ushirikiano