Uhusiano wa Uganda, EU wafukuta
Mzozo unafukuta kati ya serikali ya Uganda na umoja wa ulaya, huku serikali ya Uganda ikionya EU, kukoma kuingilia maswala ya uongozi wake pamoja na kutoa masharti kwa viongozi wa Uganda kuhusu haki za kibinadamu. Sikiliza ripoti ifuatayo iliyotayarishwa na Mwandishi wa sauti ya Amerika, Kennes Bwire.
Matukio
-
Februari 05, 2024
Ziara ya rais wa Poland nchini Kenya kuimarisha ushirikiano
-
Desemba 19, 2023
Moise Katumbi afanya kampeni ya uchaguzi Bukavu
-
Desemba 19, 2023
Matarajio ya Vijana kuhusu uchaguzi Congo
-
Desemba 19, 2023
Kampeni za wabunge DRC na kero lililojitokeza kwa baadhi ya watu
-
Desemba 19, 2023
Kampeni na ushindani uliopo DRC