Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 11:19

Uhusiano wa Uganda, EU wafukuta


Uhusiano wa Uganda, EU wafukuta
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:00 0:00

Mzozo unafukuta kati ya serikali ya Uganda na umoja wa ulaya, huku serikali ya Uganda ikionya EU, kukoma kuingilia maswala ya uongozi wake pamoja na kutoa masharti kwa viongozi wa Uganda kuhusu haki za kibinadamu. Sikiliza ripoti ifuatayo iliyotayarishwa na Mwandishi wa sauti ya Amerika, Kennes Bwire.

XS
SM
MD
LG