Uhusiano wa Uganda, EU wafukuta
Mzozo unafukuta kati ya serikali ya Uganda na umoja wa ulaya, huku serikali ya Uganda ikionya EU, kukoma kuingilia maswala ya uongozi wake pamoja na kutoa masharti kwa viongozi wa Uganda kuhusu haki za kibinadamu. Sikiliza ripoti ifuatayo iliyotayarishwa na Mwandishi wa sauti ya Amerika, Kennes Bwire.
Matukio
-
Machi 12, 2021
Majaliwa awakosoa Watanzania wenye kueneza uzushi
-
Machi 12, 2021
Majaliwa asema ameongea kwa simu na Rais
-
Februari 23, 2021
Tundu Lissu amkosoa Magufuli
-
Februari 16, 2021
Na Austere Malivika wa VOA, Goma
-
Januari 28, 2021
COVID-19 : Maoni ya Zitto Kabwe 2
-
Januari 28, 2021
COVID-19 : Maoni ya mwanasiasa Zitto Kabwe