Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Mei 02, 2024 Local time: 00:54

Kandarasi za kichina za ujenzi wa reli nchini Kenya


Kandarasi za kichina za ujenzi wa reli nchini Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:17 0:00

Kauli ya wana mazingira wanaosema kuwa kandarasi za kichina zimeharakisha ujenzi wa kupitisha njia ya reli kwenye hifadhi ya taifa ya Nairobi, eneo ambalo ni makazi ya mamia ya wanyama, bila ya kufanya utafiti wa kutosha kuhusu athari za mazingira.

XS
SM
MD
LG