Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 20:18

Mazishi ya watoto 29 ilifanyika baada shambulizi la basi nchini Yemen


Mazishi ya watoto 29 ilifanyika baada shambulizi la basi nchini Yemen
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:06 0:00

Maelfu ya waombolezaji nchini Yemen, wameelezea kukasirishwa na utawala wa Washington na Riyadh, wakati wa mazishi ya watoto waliouawa katika shambulizi lililofanywa na muungano wa wanajeshi wa Saudi Arabia kutoka angani.

XS
SM
MD
LG