Wabunge na wakosowaji wa marekani wameeleza hali ya kushtushwa na kusikitishwa kwa hatua ya Rais Donald Trump katika mkutano wake na Rais Valdimir Putin
Wabunge wa marekani wa vyama vyote viwili pamoja na wakosowaji wameeleza hali ya kushtuka na kusikitishwa na hatua ya Rais Donald Trump, ambayo haijawahi kutokea, kuungana na rais wa Rassia dhidi ya idara za usalama za Marekani ambazo zimeamua kwamba Moscow ilingilia kati uchaguzi wa rais wa 2016
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum