Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 09:29

Dawa za Kulevya: Wasichana na janga la uhalifu Kenya (Namba 1)


Dawa za Kulevya: Wasichana na janga la uhalifu Kenya (Namba 1)
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:33 0:00

Kwenye sehemu ya pili na ya mwisho katika makala inayohusu wasichana wachanga jijini Nairobi nchini Kenya walivyojiingiza katika mtego wa uhalifu kutokana na athari ya dawa za kulevya, umaskini na shinikizo la wanarika na hata kutumia bunduki kuwapora wananchi, tunakueleza jinsi wasichana hawa walivyonusurika kutoka kwa uhalifu na ujambazi huo, changamoto walizozipitia na pamoja na jinsi vituo vya kurejesha tabia na mashirika ya kijamii yanavyoimarisha juhudi za kuwarudi wasichana hao ambao wengine wao wametelekezwa na familia zao. Tujiunge na Mwandishi wetu wa Nairobi,Kennedy Wandera...

XS
SM
MD
LG