Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Desemba 17, 2025 Local time: 17:36

Guterres: Ghasia lazima zisitishwe Myanmar


Guterres: Ghasia lazima zisitishwe Myanmar
please wait

No media source currently available

0:00 0:06:00 0:00

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres atowa wito wa kusitishwa mara moja ghasia na mauwaji yanayoendela Myanmar dhidi ya waislamu wa Kirohingya.

XS
SM
MD
LG