Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Desemba 06, 2023 Local time: 08:37

Watu 14 wafukiwa baada ya mgodi kuporomoka Geita, Tanzania


Ramani ya Tanzania
Ramani ya Tanzania

Raia kumi na watatu wa Tanzania, pamoja na raia mmoja wa China, walifukiwa na udongo katisiku ya Alhamisi baada ya mgodi mmoja kuporomoka katika mkoa wa Geita nchini Tanzania, walipokuwa wakiendelea na uchimbaji wa madini. Kufuatia hayo, BMJ Muriithi alizungumza na mwandishi wa habari wa kituo cha Channel 10, Valence Robert, na kwanza akamuuliza, mkasa huo ulitokea saa ngapi...

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:59 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG