Suala la uhamiaji lajadiliwa kwa upana katika kampeni za uchaguzi
Kampeni za uchaguzi Marekani zinafikia ukingoni ambapo wagombea wote wa vyama vya Republican Donald Trump na Mdemocrat Hillary Clinton wameeeleza sera zao.katika makala hii ya uhamiaji Mary Mgawe ezungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka chuo kikuu cha New York Prof. David Monda.
Matukio
-
Aprili 13, 2022
Marekani: Wasifu wa Jaji Ketanji na lililopelekea uteuzi wake
-
Desemba 06, 2021
Prof Walter Jaoko asema Omicron sio hatari sana kama Delta
-
Septemba 03, 2021
COVID-19 : Wananchi wafarijika kufunguliwa shughuli mbalimbali Rwanda