Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 02:44

DRC yatangaza kampeni ya machanjo dhidi ya homa ya manjano


DRC yatangaza kampeni ya machanjo dhidi ya homa ya manjano
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:21 0:00

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kwamba itaanza kampeni ya kuchanja watu milioni 11.6 dhidi ya homa ya manjano, baada ya mlipuko wa ugonjwa huo kutangazwa katika mji mkuu wa nchi hiyo.

XS
SM
MD
LG