Licha ya viongozi wa muungano wa kisiasa nchini Kenya, Cord, kutangaza majina ya wajumbe watano wa kufanya mazungumzo na upande wa serikali kuhusu mzozo unakabili tume ya uchaguzi na mipaka nchini humo, serikali bado inashikilia kwamba mazungumzo yoyote ni lazima yafuate mkondo wa wa sheria kulingana na katiba ya nchi hiyo. BMJ Muriithi amefuatilia matukuio hayo na ameandaa ripoti ifuatayo.