Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Julai 27, 2026 Local time: 11:43

Mkutano wa Wataalam Tanzania

Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania.
Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania.

Wataalam wa Utawala wa Kisheria na ulio bora duniani, Jumatano wameanza mkutano wa siku mbili jijini Dar es-Salaam kujadilia uboreshaji wa utawala katika mataifa barani Afrika.

please wait

No media source currently available

0:00 0:03:05 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

George Njogopa ameangazia mkutano huo ambao umetajwa kuwa wa kwanza wa aina yake nchini Tanzania. Sikiliza sauti kwa maelezo zaidi.

This item is part of
XS
SM
MD
LG