Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Machi 16, 2025 Local time: 02:27

Wachambuzi waonya kuhusu mzozo wa Zanzibar


Kiongozi wa upinzani viasiwa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad awahutubia wanahabari kuhusu mzozo wa uchaguzi. Sasa wadadisi wanasema kwamba mvutano huo utamalizwa na Wazanzibari wenyewe.
Kiongozi wa upinzani viasiwa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad awahutubia wanahabari kuhusu mzozo wa uchaguzi. Sasa wadadisi wanasema kwamba mvutano huo utamalizwa na Wazanzibari wenyewe.

Siku moja baada ya baadhi ya makamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kuonya kuhusu kurudiwa kwa uchaguzi wa visiwa hivyo huku wakitaka pia kuundwa kwa chombo cha kimataifa kutanzua mzozo huo, baadhi ya wachambuzi wa maswala ya kisiasa wamesema kuwa watu waatakaomaliza mvutano huo ni Wanzibar wenyewe.
Kutoka Dar es salaam, George Njogopa anaarifu zaidi..

please wait

No media source currently available

0:00 0:03:18 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG