Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 25, 2025 Local time: 05:31

Sumaye: Nimeenda Upinzani kwa Kutaka Mabadiliko


Sumaye: Nimeenda Upinzani kwa Kutaka Mabadiliko
please wait

No media source currently available

0:00 0:09:15 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Wakati joto la uchaguzi nchini Tanzania likiwa limepamba moto, viongozi wa kisiasa waliohama chama kimoja kwenda kingine wanasema wananchi wanataka mabadiliko. Waziri mkuu wa zamani Fredrick Sumaye amezungumza na Sauti ya Amerika akisema kwamba wakati wa kuacha chuki binafsi umefika.

XS
SM
MD
LG