Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Mei 02, 2024 Local time: 00:45

Wengi wajitokeza mitaani baada ya ripoti za mapinduzi Burundi

Wananchi wengi walijitokeza katika mitaa ya Bujumbura Jumatano May 13 baada ya ripoti kuwa Jenerali Niyombare amemwondoa madarakani Rais Pierre Nkurunziza kufuatia machafuko juu ya uchaguzi.

.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG