Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 27, 2024 Local time: 06:29

Mamilioni ya mahujaji Wahindu wakoga kwenye mto Ganges

Wahindu wamewasili kuhiji kwenye mto wa Ganges ambao ni mtakatifu kwao, wakiadhimisha kuanza kwa sherehe kubwa kabisa za kidini duniani. Sherehe za Kumbh Mela zinafanyika kila baada ya miaka 12 na takriban watu milioni 100 wanatarajiwa kusanyika huko katika siku 55 zijazo ili kukoga ndani ya mto Ganges..

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG