Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Mei 19, 2024 Local time: 07:35

Uchaguzi wa marudio wa Zanzibar kufanyika Jumapili


Vijana wanaounga mkono upinzani wakiimba na kucheza katika uchaguzi wa octoba, 2015
Vijana wanaounga mkono upinzani wakiimba na kucheza katika uchaguzi wa octoba, 2015

Uchaguzi huo unafanyika baada ya mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar Jecha Salim Jecha kufuta uchaguzi uliofanyika Oktoba 25 mwaka jana kwa madai kuwa kulikuwapo na dosari kadhaa.

Uchaguzi wa marudio wa urais, madiwani na wawakilishi huko Zanzibar unatarajiwa kufanyika Jumapili Machi 20, 2016.

Uchaguzi huo unafanyika baada ya mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar Jecha Salim Jecha kufuta uchaguzi uliofanyika Oktoba 25 mwaka jana kwa madai kuwa kulikuwapo na dosari kadhaa.

Imeelezwa kwamba uchaguzi huo utafanyika na kushirikisha chama cha mapinduzi -CCM na vyama vingine vidogo baada ya chama cha wananchi CUF kususia na kudai hakukuwa na sababu ya kufuta uchaguzi wa awali.

Sam Kiboma na Faith Bilal ni wakaazi wa Zanzibar wametoa maoni yao.

please wait

No media source currently available

0:00 0:02:21 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Wiki hii kumekukuwepo na taarifa za matukio ya kuhatarisha usalama lakini jeshi la polisi limesema limejipanga kukabiliana na kila hali.

XS
SM
MD
LG