Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 18, 2024 Local time: 11:45

Waandamanaji wajitokeza nje kidogo ya Makao Makuu ya UN wakitaka kumalizika udhalimu kwa watu wa Sierra Lione

Huku Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa likiendelea na vikao vyake Ijumaa, waandamanaji wakitaka kumalizika udhalimu kwa watu wa Sierra Lione.

Wakuu wa Nchi kutoka kote ulimwenguni wamekusanyika New York kwa ajili ya Majadiliano ya Jumla yaliyoanza Jumanne. Maandamano hayo yanafanyika nje kidogo ya Makao Makuu ya UN, jijini New York, Marekani


Makundi

XS
SM
MD
LG