Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Mei 08, 2024 Local time: 17:04

VOA60 Afrika: Siku ya wanawake iloadhimishwa imewaleta pamoja wanawake wakikristo na kiislamu walokumbwa na ghasia huko CAR


VOA60 Afrika: Siku ya wanawake iloadhimishwa imewaleta pamoja wanawake wakikristo na kiislamu walokumbwa na ghasia huko CAR
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:10 0:00

Siku ya wanawake iloadhimishwa March 8 imewaleta pamoja wanawake wakikristo na kiislamu walokumbwa na ghasia huko Jamhuri ya Afrika ya Kati; na Mradi uloshinda tuzo huko Misri, unaendelea na kutetea haki za walemavu na kulenga kuboresha maisha yao na kuwapatia mafunzo.

XS
SM
MD
LG