Siku ya wanawake iloadhimishwa March 8 imewaleta pamoja wanawake wakikristo na kiislamu walokumbwa na ghasia huko Jamhuri ya Afrika ya Kati; na Mradi uloshinda tuzo huko Misri, unaendelea na kutetea haki za walemavu na kulenga kuboresha maisha yao na kuwapatia mafunzo.