Zaidi ya mahujaji milioni 2.5 kuanza ibada ya Hijja Ijumaa
Mahujaji wakizunguka jengo la Kaaba katika msikiti mtukufu wa Makka, Saudi Arabia ikiwa ni sehemu ya ibada ya Hijja.
Kikosi maalum cha jeshi la miamvuli la Saudi Arabia wakijitayarisha na shughuli za usalama kwa ajili ya tukio la Ibada ya Hijja wakiwa katika mji mtakatifu wa Mecca, Saudi Arabia, Sunday, Agosti. 4, 2019.
Polisi wa Saudi Arabia akiangalia harakati zinazoendelea katika msikiti wa Makka kwa kutumia katika Kompyuta ambayo imeunganishwa na kamera zilizowekwa ndani ya msikiti huo,.Saudi Arabia, Jumanne, Agosti. 6, 2019.
Mchoraji Eid Al Salwaawi akimaliza kuchora picha ya Kaaba na maeneo mengine ya ibada ya Hijja, Mecca, Cairo, Misri, Julai 17, 2019.
Mahujaji wakigusa mlango wa dhahabu wa jengo la pembe nne la Kaaba katika msikiti mtukufu wa Makka, Agosti 07, 2019, kabla ya ibada ya Hijja.(AP Photo/Amr Nabil)
Hujaji akifunika kichwa chake kujizuia na joto lililoripotiwa kuongezeka kufikia nyuzi joto 42 katika msitiki mtukufu wa Makka nchini Saudi Arabia.
Mahujaji wakigusa mlango wa dhahabu wa jengo la kaaba.