Rais wa zamani wa Ghana Jerry Rawlings afariki akiwa na umri wa miaka 73

  • Abdushakur Aboud

Rais Bill Clinton akitembea pamoja na Rais Jerry Rawlings wa Ghana kwenye bustani ya White House

Rais Bill Clinton wa Marekani pamoja na Jerry Rawlings wa Ghana baada ya kukabidhiwa kitenge

Rais Jerry Rawlings akimsalimia Mfalme Akihiyto wa Japan akimkaribishwa Tokyo Oktoba 1998

Rais Fidel Castro wa Cuba akimkaribisha rais wa Ghana Jerry Rawlings mjini Havana Septemba 1998

Marais wa zamani J. Rawlings wa Ghana, O. Obasanjo wa Nigeria na T. Mbeki wa Afrika Kusini

Marais Nelson Mandela wa Afrika Kusini na Jerry Rawlings wa Ghana mjini Ouagadougou kwenye mkutano wa OAU

Malkia Elizabeth wa Uingereza na Rais Jerry Rawling nje ya bunge la Ghana mjini Accra Novemba 1999

Marais wa zamani Jerry Rawlings wa Ghana na Thabo Mbeki wa Afrika Kusini mjini Accra

Mshindi wa Nobel ya Riwaya wa Nigeria Wole Soyinka na rais wa zamani wa Ghana Jerry Rawlings

Emeka Anyaoku katibu mkuu wa zamani wa Commonwealth na rais wa zamani wa Ghana Rawlings

Jerry Rawlings mjumbe wa UN Somalia akikagua wanajeshi wa Uganda katika kikosi cha AMISOM Mogadishu

Michael Jackson amkabidhi Rais Jerry Rawlings upanga wa dhahabu kutoka mwanamfalme Alwaleed

Jerry Rawlings akisalimiana na raia baada ya kupiga kura mjini Accra 2008

Rais Hugo Chavez wa Venezuela akimtembeza Jerry Rawlings katika mtaa wa Caracas

Rais wa zamani wa Ghana Jerry Rawlings awasili na mkewe Nana kuapishwa rais Nana Akufo

Kiongozi wa zamani wa Ghana Jerry Rawlings, atakumbukwa kwa kudumisha demokrasia na kuleta utulivu nchini mwake pamoja na kukuza uhusiano wa kimataifa.