Mwanaharakati aelezea mchango wa Rais Kenyatta

Your browser doesn’t support HTML5

Mwanasheria na mwanaharakati aeleza Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta atakumbukwa kutokana na mchango wake wa kutafuta uwiano na makundi mbalimbali kuleta umoja nchini. Pia Rais atakumbukwa kwa juhudi kubwa ya kuleta maendeleo nchini.