Kigali : Rusesabagina afungwa miaka 25, akaidi kufika mahakamani

FILE - Paul Rusesabagina akifikishwa mahakamani mjini Kigali, Rwanda, Sept. 25, 2020.

Paul Rusesabagina akihudhuria kesi yake mjini Kigali, Rwanda, Feb. 26, 2021.

Paul Rusesabagina akiwaangalia wenzake waliotuhumiwa kwa makosa ya kujihusisha na harakati za kisiasa za chama cha Mouvement Rwandais pour le changement démocratique (MRCD) kilos cha wapiganaji wa chama hocho.

Watuhumiwa wenzake Paul Rusesabagina wakifikishwa mahakamani Jumatatu Septemba 20, 2021, Kigali, Rwanda . (Assumpta Kaboyi / VOA) 6

Waliotuhumiwa pamoja na Paul Rusesabagina katika kesi ya ugaidi wakiwasili mahakamani Jumatatu Septemba 20, 2021, Kigali, Rwanda (Assumpta Kaboyi / VOA).

Watuhumiwa wenza wa Paul Rusesabagina wakiwa mahakamani Septemba 20, 2021. (Assumpta Kaboyi / VOA)

Waandishi wa habari wakifuatilia kesi ya Paul Rusesabagina na washtakiwa wenza iliyokuwa ikisikilizwa Jumatatu Septemba 20, 2021, Kigali, Rwanda (Assumpta Kaboyi / VOA)

Wakati Paul Rusesabagina hakufika mahakamani mjini Kigali wakati wakuhukumiwa kwa makosa ya ugaidi, wenzake 20 wanaotuhumiwa walifika. Wanakabiliwa na mashtaka ikiwemo kuchoma moto, uhaini na mauaji.