Maandamano Kinshasa kupinga mamlaka ya Kabila

Katika mtaa wa Lingwala, katika mji mkuu, polisi wanawatawanya waandamanaji kwa gesi ya kutoa machozi. Disemba 20 2016. (VOA/Charly Kasereka)

Wakazi wakiimba na kuwasha moto vizuizi vya barabarani Kinshasa

Polisi mmoja wa kongo akitizama maandamano katika mji mkuu wa Kinshasa, Disemba 20 2016.

Polisi wamekaa juu ya jengo la kituo kikuu cha treni cha Gombe, Kinshasa, Disemba 19 2016.

Polisi wapita vizuizi vya barabarani wakati wa maandamano mjini Kinshasa.

Maandishi yaliyoandikwa barabarani kumpinga Rais joseph Kabila.

Katika mtaa wa Lingwala, katika mji mkuu polisi wanawatawanya waandamanaji (VOA/Charly Kasereka)

Wakazi wakiimba nyimbo za kumpinga Kabila

Des habitants manifestent contre le président Joseph Kabila, le 20 décembre 2016 à Kinshasa.

A Lingwala, un homme atteint par une balle perdue et la police pourchasse la population le 20 décembre 2016. (VOA/Charly Kasereka)

A Lingwala, dans la capitale, la police pourchasse la population, le 20 décembre 2016. (VOA/Charly Kasereka)