AFCON 2019 MISRI : Uchambuzi : Tanzania vs Senegal

Your browser doesn’t support HTML5

Mchambuzi Abdullah Matitu wa Tanzania akieleza mapungufu yaliyojitokeza katika mechi ya Tanzania na Senegal.
Matitu alikuwa akizungumza na Mwandishi wa VOA, Sunday Shomari, nchini Misri, Jumapili.