AFCON 2019 MISRI :Ufafanuzi juu ya hatma ya kocha wa Tanzania

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa TFF Tanzania atoa ufafanuzi juu ya kuondoka kwa kocha wa timu ya taifa ya Tanzania baada ya timu yake kutolewa katika michuano ya AFCON.
Mwandishi wa VOA Sunday Shomari amefanya mahojiano haya mjini Cairo, Misri.