Kura za hesabiwa Madagascar kufuatia uchaguzi wa rais ulosusiwa na upinzani
Mawakala wa vyama vya siasa katika kituo cha uchaguzi wansshangilia wakati afisa wa uchaguzi akihesabu kura mjini Antananarivo
Afisa wa uchaguzi wa Madagascar akihesabu idadi ya kura zilizoandikwa kwenye ubao mjini Antananarivo
Afisa wa uchaguzi akionyesha kura zinazohesabiwa kufuatia duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais wa Novemba 16, 2023.
Mpiga kura atia saini kwenye daftari la wapiga kura alipofika kupiga kura kwenye duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais wa Madagascar mjini Antananarivo, Novemba 16, 2023.
Kituo cha kupiga kura katika wilaya ya Ankadivato, mjini Antananarivo, kikiwa kitupu kutokana na upinzani kususia duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais hapo Novemba 16 2023.
Wafanyakazi wa uchaguzi wakiwa katika zoezi la upigaji kura mjini Antananarivo.
Mpiga kura atumbukiza kura yake ndani ya sanduku la kura akishiriki kwenye duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais Madagascar.