Mkuu Shirika hilo Dkt Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema Jumatano kuwa idadi ya maambukizi nje ya Uchina vimeongezeka mara 13 katika wiki mbili zilizopita.
Dkt Ghebreyesus anasema "anahofu kubwa " kutokana na "viwango vya maambukizi " hayo.
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa kuenea kwa virusi vya corona katika mataifa mbalimbali duniani hivi sasa kumefikia kuwa janga la kimataifa.
Mkuu Shirika hilo Dkt Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema Jumatano kuwa idadi ya maambukizi nje ya Uchina vimeongezeka mara 13 katika wiki mbili zilizopita.
Dkt Ghebreyesus anasema "anahofu kubwa " kutokana na "viwango vya maambukizi " hayo.