Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Januari 19, 2026 Local time: 05:27

Watetezi wa haki za watoto wataka adhbu kwa watu wanao wanyanyasa Watoto


Watetezi wa haki za watoto wataka adhbu kwa watu wanao wanyanyasa Watoto
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:25 0:00

Watetezi wa haki za Watoto nchini Tanzania wanataka sheria zilizopo kuimarishwa zaidi na adhbu kati kutolewa kwa watu wanaowanyanyasa Watoto. Isitoshe, wanataka Watoto kupewa malezi bora, wakati ripoti za matukio ya unyanyasaji wa Watoto zikiongezeka nchini Humo.

XS
SM
MD
LG