Wataalam hao watazungumzia changamoto za kukabiliana na COVID-19 barani Afrika.
Kadhalika watajibu maswali yaliyowasilishwa na wasikilizaji na watazamaji wa vipindi vya VOA Afrika kupitia mitandao yake ya kijamii.
Mkutano huu utaongozwa na Linord Moudou, Mtangazaji wa Kipindi cha Afya wa Kitengo cha Afrika cha VOA
Facebook Forum