Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Mei 15, 2024 Local time: 00:00

Wanachama wa upinzani DRC waandamana nje ya ofisi ya Tume ya Uchaguzi Kinshasa


Wanachama wa upinzani DRC waandamana nje ya ofisi ya Tume ya Uchaguzi Kinshasa
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:22 0:00

Shughuli za kawaida zimeathirika katika mji mkuu wa Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, polisi wakikabiliana na wafuasi wa upinzani walioandamana kulalamika namna tume ya uchaguzi ilivyoundwa.

XS
SM
MD
LG