Mamia ya wafanyakazi wa uokozi walipelekwa katika eneo la milima ambapo ndege ya shirika la Yeti, iliyokuwa imebeba watu 72 kuanguka ikitokea mji mkuu wa Kathmandu.
Televisheni ya nchini humo imeonyesha wafanyakazi wa uokozi wakiwa wamekusanyika kuzunguka vipande vya ndege iliyoanguka.
Katika baadhi ya enei la tukio moto ulionenaka ukiendelea ukuwaka.
Ajali hiyo imekuwa mbaya zaidi toka mwaka 1992, kwa mujibu wa taarifa za mtandao wa usalama wa usafiri wa anga, ambapo ndege ya shirika la Pakistan International, Airbus 300 ilipo anguka katika vilima wakati ikitua Kathmandu na kuua watu 167 waliokuwemo
Facebook Forum