Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 22:03

Wabunge wa DRC waidhinisha mabadiliko ya katiba


Kiongozi wa chama cha upinzani MLC nchini DRC Jean Pierre Bemba akipiga kura kinshasa Juli, 30, 2006.
Kiongozi wa chama cha upinzani MLC nchini DRC Jean Pierre Bemba akipiga kura kinshasa Juli, 30, 2006.

Wabunge wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameteua tume maalum kutayarisha mswada wa kubadili kifungu cha katiba kufutilia mbali duru ya pili ya uchaguzi.

Wabunge wa upinzani wamesusia vikao vya kubadilisha kifungu hicho cha katiba wakisema inakwenda kinyume na demokrasia na ni hatua ya kukandamiza upinzani.

Wabunge wa chama tawala watajadili mabadiliko hayo Jumamosi kabla ya kufunga bunge kwa msimu huu.

XS
SM
MD
LG