Seneta wa Marekani Chris Coons amekutana na rais mteule wa Kenya William Ruto aliyetangazwa mshindi wa uchaguzi mkuu uliofanyika wiki iliyopita pamoja na mpinzani wake mkuu Raila Odinga ambaye anapinga matokeo hayo.
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.