Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 21:52

Utafiti wabaini majanga 2022 yalisababisha uharibifu mkubwa haujawahi kushuhudiwa


Utafiti wabaini majanga 2022 yalisababisha uharibifu mkubwa haujawahi kushuhudiwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:27 0:00

Utafiti wa wanasayansi unasema majanga yaliyotokea mwaka 2022 yalisababisha uharibifu mkubwa ambao haujawahi kuonekana katika historia. utafiti huo ulitolewa na kampuni moja ya bima.

Ungana na mwandishi wetu akikuletea ripoti kamili inayoeleza hasara zinazotokana na majanga mbalimbali duniani ikiwemo vimbuga, vita na mafuriko na kiwango cha fedha zilizotolewa kufidia uharibifu huo. Pia utaweza kusikiliza habari mbalimbali za dunia...

XS
SM
MD
LG