Macron yuko katika nafasi nzuri ya kushinda uchaguzi tena katika duru ya pili ya urais wa nchi hiyo, lakini uongozi wake dhidi ya Le Pen unategemea na jambo moja kuu lisilo na uhakika kwa wapiga kura ambao wanaweza kuamua kusalia nyumbani.
Ushindi wa Macron katika kura hii ambayo inaweza kuwa na athari kubwa kwa mwelekeo wa baadaye wa Ulaya na juhudi za Magharibi kusitisha vita nchini Ukraine zitamfanya kuwa rais wa kwanza wa Ufaransa katika kipindi cha miaka 20 kushinda muhula wa pili.
Ushindi wa Macron katika kura hii ambayo inaweza kuwa na athari kubwa kwa mwelekeo wa baadaye wa Ulaya na juhudi za Magharibi kusitisha vita nchini Ukraine zitamfanya yeye kuwa rais wa kwanza wa Ufaransa katika kipindi cha miaka 20 kushinda muhula wa pili.