No media source currently available
Mabadiliko makubwa ameyafanya kwenye Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kumteua balozi Liberata Mulamula kuwa mbunge na baadaye kumteua kushikilia wizara hiyo. Pia amemteua balozi Hussein Katanga kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
Ona maoni
Facebook Forum