Afrika Kusini imerekodi idadi kubwa ya maambukizi na vifo vya corona katika bara la Afrika, hata hivyo utoaji chanjo umepungua na nchi ina akiba ya kutosha ya chanjo ya dozi milioni 25.
Waziri wa Afya Joe Phaahla aliambia mkutano wa wanahabari mtandaoni kamba kuna hatari karibu dozi 100,000 au zaidi ambazo zitaisha muda wake mwishoni mwa Machi na zitatupwa. Akiongezea kusema kua Itakuwa siku ya kusikitisha ikiwa kiasi kikubwa cha dozi kinaweza kutupwa.