Kiongozi huyo amesema tathmini ya awali inaonyesha watu watano wamefariki hadi sasa.
Kulingana na Shirika la Habari la AFP watu wamerejea kwenye makazi yao mchana huu baada hatari hiyo ya matope ya moto kupungua kwa kiasi fulani.
Kiongozi huyo amesema tathmini ya awali inaonyesha watu watano wamefariki hadi sasa.
Kulingana na Shirika la Habari la AFP watu wamerejea kwenye makazi yao mchana huu baada hatari hiyo ya matope ya moto kupungua kwa kiasi fulani.