Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Aprili 30, 2025 Local time: 10:06

35 wauwawa na Islamic State nchini Iraq


Shi'ite fighters from Saraya al-Salam, who are loyal to radical cleric Muqtada al-Sadr, gather at site of a suicide attack at the entrance of the Shi'ite Mausoleum of Sayid Mohammed bin Ali al-Hadi in Balad, north of Baghdad, Iraq, July 8, 2016.
Shi'ite fighters from Saraya al-Salam, who are loyal to radical cleric Muqtada al-Sadr, gather at site of a suicide attack at the entrance of the Shi'ite Mausoleum of Sayid Mohammed bin Ali al-Hadi in Balad, north of Baghdad, Iraq, July 8, 2016.

Maafisa wa usalama wa Iraq wanasema magaidi wa Islamic State wameua karibu watu 35 na kujeruhi wengine kadhaa Alhamisi jioni katika shambulizi kwenye sehemu takatifu ya washiha kaskazini mwa Baghdad.

Shambulizi katika sehemu hiyo inayojulikana kama Sayyid Mohammed inajumuisha mabomu kadhaa ya kujitoa muhanga, bunduki, na maguruneti, limetokea siku kadhaa baada ya mamia ya watu kuuwawa na kujeruhiwa katika shambulizi katika sehemu ya biashara yenye mkusanyiko mkubwa mjini Baghdad, shambulizi baya kuliko katika historia ya Iraq.

XS
SM
MD
LG