Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Agosti 16, 2026 Local time: 10:49

Serikali ya Sudan itapeleka ujumbe Geneva katika juhudi za kuleta amani

Ramani ya Sudan
Ramani ya Sudan

RSF imekubali kuhudhuria mazungumzo ya Geneva ni juhudi ya kwanza kubwa ya upatanishi ya pande mbili zinazopigana Sudan.

Serikali ya Sudan imesema leo Ijumaa itapeleka ujumbe kwenda Jeddah kushauriana na Marekani kuhusu mwaliko wa mazungumzo ya kusitisha mapigano mjini Geneva yatakayofanyika Agosti 14.

Mazungumzo hayo yanalenga kumaliza vita vya miezi 15 kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF). Mazungumzo ya Geneva, ambayo RSF imekubali kuhudhuria, yatakuwa juhudi ya kwanza kubwa katika miezi ya upatanishi kati ya pande hizo mbili zinazopigana nchini Sudan.

This item is part of

Forum

XS
SM
MD
LG