Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 22:51

Russia yatishia kufunga vyombo vya habari


Rais wa Russia Vladimir Putin. May 5, 2022.
Rais wa Russia Vladimir Putin. May 5, 2022.

Serikali ya Russia imeripotiwa kwamba inapanga kuchukua hatua dhidi ya vyombo vya habari vinavyotangaza kwa lugha ya kiingereza.

Hatua hiyo inatokana na kile Russia inataja kama hatua zisizo za kirafiki, zinazochukuliwa na serikali za nje dhidi ya Russia.

Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Maria Zakharova amesema kwamba Russia inatayarisha hatua itakazochukua hivi karibuni dhidi ya vyombo hivyo vya habari.

XS
SM
MD
LG