Matazamio ni makubwa sana leo kwani hii Imekuwa safari ndefu kwa mitt Romney kufika hapa – safari iliyochukua zaidi ya miaka minne na hatimaye leo gavana huyo wa zamani wa jimbo la Massachussets atapokea rasmi uteuzi wa chama cha Republikan kuwa mgombea wake urais katika uchaguzi mkuu mwezi novemba.
Wasikilizaji wetu watakumbuka kuwa Romney aliwania ugombea wa chama hicho mwaka 2008 lakini akashindwa na seneta John Mccain – na mwaka huu alipambana vikali na warepublican wengine tisa, na baada ya miezi kadha ya kampeni hatimaye mapema wiki hii kwa kura za wajumbe zaidi ya elfu mbili aliteuliwa rasmi kuwa mgombea wa chama hicho hapa katika mkutano wa uteuzi.
Mitt Romney alikubali rasmi kuwa mgombea siku ya Alhamisi na kukamilisha tiketi ya chama cha Republikan – akiwa na mgombea mwenza Paul Ryan – kupambana na rais Barack Obama katika uchaguzi mkuu Novemba.
Kinachosubiriwa kwa hamu leo ni hotuba ya Romney, endapo itafanana na tukio ama la. Lakini wachambuzi wanasema Romney amepata mazoezi ya kutosha katika kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja uliopita ambapo amekuwa akitoa hotuba kadha kama hizi.
Kwa wiki nzima hii, hotuba za wazungumzaji wengine wakuu zilikuwa zinajenga hoja ya mitt Romney leo usiku. Jumatano usiku mgombea mwenza wake paul ryan alitoa hotuba ambayo ilipokelewa vizuri na wajumbe wa republican, ingawa wachambuzi wanasema ilikuwa na mengi ya kuulaumu utawala wa Obama kuliko sera za tiketi ya Romney na Rayn.
Ila Jumatano usiku waziri wa mambo ya nje wa Marekani Condoleeza Rice aliwakosha warepublican kwa hotuba yake ambayo ilikita zaidi katika sera za mambo ya nje na kuonyesha wazi wazi uzoefu wake katika maswala ya uhusiano wa Marekani na mataifa ya nje.
Bi Rice alikuwa mwanamke wa kwanza – Mmarekani mwenye asili ya kiafrika – kuhutubia kama mmoja wa wazungumzaji wakuu katika historia ya mkutano mkuu wa uteuzi wa chama cha Republikan
Wasikilizaji wetu watakumbuka kuwa Romney aliwania ugombea wa chama hicho mwaka 2008 lakini akashindwa na seneta John Mccain – na mwaka huu alipambana vikali na warepublican wengine tisa, na baada ya miezi kadha ya kampeni hatimaye mapema wiki hii kwa kura za wajumbe zaidi ya elfu mbili aliteuliwa rasmi kuwa mgombea wa chama hicho hapa katika mkutano wa uteuzi.
Mitt Romney alikubali rasmi kuwa mgombea siku ya Alhamisi na kukamilisha tiketi ya chama cha Republikan – akiwa na mgombea mwenza Paul Ryan – kupambana na rais Barack Obama katika uchaguzi mkuu Novemba.
Kinachosubiriwa kwa hamu leo ni hotuba ya Romney, endapo itafanana na tukio ama la. Lakini wachambuzi wanasema Romney amepata mazoezi ya kutosha katika kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja uliopita ambapo amekuwa akitoa hotuba kadha kama hizi.
Kwa wiki nzima hii, hotuba za wazungumzaji wengine wakuu zilikuwa zinajenga hoja ya mitt Romney leo usiku. Jumatano usiku mgombea mwenza wake paul ryan alitoa hotuba ambayo ilipokelewa vizuri na wajumbe wa republican, ingawa wachambuzi wanasema ilikuwa na mengi ya kuulaumu utawala wa Obama kuliko sera za tiketi ya Romney na Rayn.
Mkutano mkuu wa chama cha Republican wamalizika Tampa
1/18
Mitt Romney, vice-presidential candidate Paul Ryan (R) and Campaign Manager Matt Rhoades pose for a staff portrait on the steps of the stage at the Republican National Conventionm in Tampa, Florida, August 30, 2012.
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
2/18
Republican presidential nominee Mitt Romney and vice presidential nominee Paul Ryan wave to delegates after speaking at the Republican National Convention in Tampa, Florida, August 30, 2012.
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
3/18
Mitt Romney hugs his grandchildren after his speech, August 30, 2012.
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
4/18
Actor Clint Eastwood speaks to an empty chair on the final night of the convention, August 30, 2012.
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
5/18
The Republican National Convention main stage at the Tampa Bay Times Forum in Tampa, Florida. (B. Allen/VOA)
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
6/18
The Texas delegation reacts to speeches at the convention. (J. Featherly/VOA)
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
7/18
Former U.S. Secretary of State Condoleezza Rice addresses the crowd, August 29, 2012. (J. Featherly/VOA)
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
8/18
Ann Romney hugs her husband after she addressed delegates during the second session of the Republican National Convention, August 28, 2012.
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
9/18
Montana delegates on the floor of the convention. (J. Featherly/VOA)
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
10/18
Dona Poelman from Racine, Wisconsin accessorizes her shirt at the RNC.
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
11/18
Delegates cheer as an image of Mitt Romney is displayed during the opening session, August 27, 2012.
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
12/18
Texas delegate Clint Moore and the rest of Texas delegates fashion their cowboy hats on the floor.
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
13/18
Men prepare food in a protest camp called "Romneyville" outside the convention center.
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
14/18
Delegates on the floor watch speakers during the second session. (J. Featherly/VOA)
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
15/18
Delegate Sol Grosskopf from Shawano, Wisconisin wears cheesehead hat on the convention floor.
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
16/18
Convention goers pause in the prayer room.
Mitt Romney akubali kuwa mgombea kiti cha rais kwa niaba ya chama cha Republican akiwa na mgombea mwenza wake Paul Ryan
Previous slide
Next slide
Ila Jumatano usiku waziri wa mambo ya nje wa Marekani Condoleeza Rice aliwakosha warepublican kwa hotuba yake ambayo ilikita zaidi katika sera za mambo ya nje na kuonyesha wazi wazi uzoefu wake katika maswala ya uhusiano wa Marekani na mataifa ya nje.
Bi Rice alikuwa mwanamke wa kwanza – Mmarekani mwenye asili ya kiafrika – kuhutubia kama mmoja wa wazungumzaji wakuu katika historia ya mkutano mkuu wa uteuzi wa chama cha Republikan