Kila mwaka Malawi imekuwa ikishuhudia uhaba wa chakula licha ya juhudi nyingi za kuongeza uzalishaji ikiwepo program ya Targeted Inputs, inayotoa mbegu na mbolea za bei nafuu kwa wakulima.
Kulingana na ripoti iliyotolewa mwezi uliopita na mtandao unaotahatharisha kuhusu kiangazi wa Famine Early Warning Systems Network, takriban watu milioni 4.4 wa Malawi ambao ni sawa na asilimia 22 ya jumla ya wakazi nchini humo, wanakumbwa na uhaba wa chakula, wakati hali hiyo ikitarajiwa kuongezeka kuanzia Oktoba mwaka ujao.
Akizungumza kwa njia ya televisheni wakati wa uzinduzi wa mradi huo mpya, Chakwera amesema kwamba unalenga kuongeza fedha za kigeni nchini, pamoja na kuhakikisha kujikimu kichakula.
Forum