Rais Tshisekedi awataka vijana kujiunga na jeshi kupambana na waasi
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi ameelekeza viongozi wa jeshi la nchi hiyo kufunga kambi kadhaa za mafunzo ya kijeshi nchini humo kwa matayarisho ya kusajili idadi kubwa ya wanajeshi ili kujiandaa kupambana na kundi la waasi M23 na makundi mengine ya waasi Kivu Kaskazini.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC