- Wapiganaji wa Somalia wachukua baadhi ya maeneo katika mji mkuu Mogadishu siku moja baada ya mapigano kuzuka baina yao na vikosi vya serikali.
- Kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa Total imesitisha operesheni zake katika eneo kubwa la uchimbaji wa mafuta kaskazini mwa Msumbiji.
- Kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa Total imesitisha operesheni zake katika eneo kubwa la uchimbaji wa mafuta kaskazini mwa Msumbiji.