Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 21:59

Raia wa Angola wapiga katika uchaguzi wenye ushindani mkali


Wapiga kura wakiwa kwenye foleni ya kupiga kura zao katika kituo cha kupigia kura katika uchaguzi wa urais mjini Luanda, Jumatano, Agosti 23, 2017.(AP Photo/Bruno Fonseca).
Wapiga kura wakiwa kwenye foleni ya kupiga kura zao katika kituo cha kupigia kura katika uchaguzi wa urais mjini Luanda, Jumatano, Agosti 23, 2017.(AP Photo/Bruno Fonseca).

Raia wa Angola wamepiga kura siku ya Jumatano katika kinyang'anyiro kikali ambapo muungano mkuu wa upinzani una nafasi kubwa kuwahi kutokea ya ushindi, huku mamilioni ya vijana walioachwa nje kwenye soko la mafuta wanatarajiwa kuelezea kukasirishwa kwao na miongo mitano ya utawala wa MPLA.

Raia wa Angola wamepiga kura siku ya Jumatano katika kinyang'anyiro kikali ambapo muungano mkuu wa upinzani una nafasi kubwa sana kuwahi kutokea ya ushindi, huku mamilioni ya vijana walioachwa nje kwenye soko linalokua la mafuta wanatarajiwa kuelezea kukasirishwa kwao na takriban miongo mitano ya utawala wa MPLA.

Chama tawala bado kina nafasi zaidi ingawa uongozi wake ni finyu vya kutosha kwa ushindi wa kushangaza wa UNITA, ambao unaweza kubadilisha uhusiano wake na mataifa yenye nguvu kubwa duniani na uwezekano kupunguza uhusiano wao wa kirafiki na Russia.

Tangu uhuru kutoka kwa Ureno mwaka 1975, Angola imekuwa ikiendeshwa na chama cha zamani cha Marxist People's Movement for the Liberation of Angola (MPLA), kilichoongozwa tangu mwaka 2017 na Rais Joao Lourenco.

Lakini uchunguzi wa Afrobarometer wa mwezi Mei ulionyesha Nati

XS
SM
MD
LG